Tuesday, October 23, 2012

MDAHALO WA KUGOMBEA URAISI


MAREKANI: MDAHALO WA MWISHO WA WAGOMBEA WA URAIS


Nani msema ukweli? Nani amewashawishi wapiga kura vya kutosha kabla ya uchaguzi? Ni Obama au Romney? Wagombea katika uchaguzi mkuu wa Marekani Barack Obama na Mit Romney wametofautiana kuhusu sera ya kigeni,Obama akisema Romney hana uelewa wowote wa sera ya kigeni wakati Romney akisema Obama alikosea katika sera yake ya Mashariki ya kati. Kwamba amesababisha vurugu zaidi tangu aingine mamlakani.

No comments:

Post a Comment

Tupatie maoni yako sasa!