licha yakuwepo kwa usafiri wa magari wanakijiji wa ndungu hutumia Punda katika kubebea mizigo yao hii ni kutokana na kuepuka gharama za usafirishaji kwa njia ya Gari
mwana mke huyu anatuliza mpunga
Shule ya msingi NDUNGU
wanakijiji wa NDUNGU hujishughulisha pia na shughuli za Uvuvi
Bwawa hili hutumiwa na wana kijiji wa NDUNGU katika shughuli zao za uvuvi na maendeleo kwa ujumla
No comments:
Post a Comment
Tupatie maoni yako sasa!