Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete , amesema serikali haitawavumilia waumin wachache wa madhehebu ya dini wanaotaka kuvuruga amani ya nchi kwa maslahi yao na kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wote wanaochochea uvunjivu wa amani.
No comments:
Post a Comment
Tupatie maoni yako sasa!