Saturday, October 20, 2012

vurugu dar

CHANZO CHA HABARI HII NI I.T.V



Licha ya polisi kuweka ulinzi mkali katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar Es Salaam kuwadhibiti watu wanaodhaniwa ni Waumini wa dini ya Kiislamu waliokuwa na nia ya kufanya maandamano kuelekea Ikulu kwa lengo la kushinikiza kuachiliwa huru wenzao wanaoshikiliwa na polisi baadhi yao wamefanikiwa kupenya hadi katika maeneo ya Ikulu japo wameishia mikononi mwa polisi waliokuwa wamezunguka kona zote za makazi hayo ya raisi

1 comment:

Tupatie maoni yako sasa!