Saturday, October 20, 2012

Maandamano Dar

TAARIFA ZILIZOTUFIKIA:
Kumekuwa na vurugu kubwa katikati ya jiji la Dar Es Salaam, baada ya Polisi kujaribu kuzuia maandamano yaliyotaka kufanywa na watu wanaosemekana ni waumini wa Dini ya Kiisilam.

2 comments:

Tupatie maoni yako sasa!